Wednesday, April 2 2025

Header Ads

Breaking News
recent

JINSI YA KULIMA FIWI


        HII NDO PICHA HALISI YA FIWI
        Mfiwi
 Fiwi ni aina flani ya maharage  na zao hili hupenda sana kulimwa mkoa wa kilimanjaro baadhi ya maeneo ambayo yana ukame kwa sababu zao hili hiuistahimili sana ukame kwa muda mrefu.Na soko lake sanasana ni Kenya pamoja na India wengi hupenda kutumia kama chakula lakini kenya hupenda kutengenezea biskuti.
            MBEGU ZA FIWI HUPATIKANA WAPI?
 Mbegu hizo hupatikana sana mkoa wa Kilimanjaro Na Tanga. Kwasababu ndizo sehemu zinazolima sana zao hilo na wakulima wanapomaliza mavuno huwa wanalihifadhi mbegu mpaka  msimu mwingine tena wa kulima tena fiwi.
             YANAKAA SHAMBANI KWA MUDA GANI?
 Zao hili huwa linakaa shambani kwa takribani miezi mitatu na nusu au minne inategemea na ulivyowahi kupanda zao hilo lakini pia inategemea hali ya hewa.
              YANAUZWA BEI GANI?
 Bei ya zoa hili huwa inategemea kwa muda wa mavuno na muda wa kupanda hivyo hali ya sasa ya bei kwa mkoa wa Kilimanjaro na baadhi ya maeneo mkoa wa Tanga ni:
Kilo moja sh: 1500.
Kilo ishirini sh: 30000.
Gunia ni sh:180000.
KWA MAELEZO ZAIDI NITAFUTE WATSAP (0677494573)FACEBOOK(ZUHURA AMANI)  EMAIL( zuhuraamani24@gmail.com) NA TWITER( ZUHURA AMANI).

4 comments:

Powered by Blogger.